KIJANA WA KITANZANIA ALIYETENGENEZA MTANDAO WA KIJAMII
2 posters
Page 1 of 1
KIJANA WA KITANZANIA ALIYETENGENEZA MTANDAO WA KIJAMII
Elisha william ni miongoni mwa vijana waliofanikiwa kuibadilisha Mitazamo ya watu wengi kupitia fursa zilizopo mitandaoni.Kijana huyu kutoka Dodoma (chuo) ameweza kutengeneza mtandao wake wa kijamii uitwao 2day sky,ambao unakuwezesha kuwasiliana na marafiki,kupata habari,kuweka matangazo bila ya malipo yoyote na kila mtumiaji akaona.
Elisha William amekuwa miongoni mwa vijana wanaotabiliwa kuwa na mafanikio makubwa sana kutokana na kuthubutu kwake.Alisoma plograming lakini kabla ya kuajiliwa ameona ni bora ajiajiri yeye mwenyewe,sasa anaitaji support yako hivyo nakuomba wewe kijana uliyweza kusoma habari hizi ujiunge na mtandao huu.
ili uweze kujiunga na mtandao huu bonyeza maandshi ya blue hapo chini ...
http://www.2daysky.com/http://www.2daysky.com/
Elisha William amekuwa miongoni mwa vijana wanaotabiliwa kuwa na mafanikio makubwa sana kutokana na kuthubutu kwake.Alisoma plograming lakini kabla ya kuajiliwa ameona ni bora ajiajiri yeye mwenyewe,sasa anaitaji support yako hivyo nakuomba wewe kijana uliyweza kusoma habari hizi ujiunge na mtandao huu.
ili uweze kujiunga na mtandao huu bonyeza maandshi ya blue hapo chini ...
http://www.2daysky.com/http://www.2daysky.com/
Re: KIJANA WA KITANZANIA ALIYETENGENEZA MTANDAO WA KIJAMII
Huo mtandao unamfaidishaje km ni wa Bure?
George Benard- Posts : 1
Join date : 2016-10-01
asante kwa swali
am ni kwamba kupitia mtandao huu wapo watu wengi wameamua kuwekeza katika idea ya kijana huyu,lakini pia huu sio mtandao wa bure kwasababu ni lazima uwe na mb ili utumie ila nilichokuwa nakimaanisha ni kwamba kuweka tangazo la biashara yako ndo buree haulipii.George Benard wrote:Huo mtandao unamfaidishaje km ni wa Bure?
Page 1 of 1
Permissions in this forum:
You cannot reply to topics in this forum
|
|